Monday 8 September 2014

TANGAZO 27/09/2014 VIJANA WA USHIRIKA NDANI YA MATEMA BEACH


Tumepokea taarifa kutoka kwa vijana wa ushirika mji uliopo nje kidogo ya Tukuyu watakuwa na safari ya kitalii kutoka ushirika kuelekea katika ziwa nyasa. safari itakuwa tarehe 27/09/2014 kama ungependa kushiriki pamoja nao gharama ya safari itakuwa ni Tsh 10,000, wasiliana nao kwa simu no: 0754 617675 Andengulile Kapulya, imedhaminiwa na Mwegelege Library.
Tutazidi kuwafahamisha zaidi kitakachokuwa kinaendelea

Karibu Tanzania, Karibu Mbeya.

0 comments:

Post a Comment

Welcome

Travel makes one modest, You see what a tiny place you occupy in the world. This page is dedicated to promote tourist attractions of MBEYA Tanzania

Ask a question

Name

Email

Question

Submit

Popular Posts