Saturday 13 September 2014

LAKE NGOSI SAFARI



ZIARA YA ZIWA NGOSI ITAKAYO FANYIKA KATIKA JIJI LA MBEYA ILI KUHAMASISHA UTALII WA NDANI NA NJE YA MKOA

Kauli Mbiu: Mbeya ni chachu ya utalii

Blog pendwa iliyojikita katika kuelimisha, kuhamasisha na kutangaza utalii na utunzaji wa mazingira katika mkoa wa Mbeya ijulikanayo kwa jina la MBEYA HOME OF TOURISM kwa kushirikiana na kamati ya utalii mkoani mbeya iliyochini ya mkuu wa mkoa ikiongozwa na mwenyekiti Mr. Msigala na taasisi mbali mbali za mkoa wa Mbeya tumeandaa safari ya kitalii (adventure tourism) itakayokuwa siku ya jumamosi tarehe 20/09/2014 ambayo itakuwa ya kuelekea ziwa Ngosi Gharama ya safari hii ni mguu wako tu, tutapita njia nzuri iliyokaa ki adventure ambayo iko uyole, kila mshiriki atachangia  Tsh 1,500 ambayo hulipwa na kila mtembeleaji katika ofisi ya TANZANIA FOREST SERVICES malengo yetu ni kuwa na watu 40 tu, safari hii ina dhumuni la:-
  •   Kuhamasisha ukuaji wa utalii wa ndani na nje ya mkoa,
  • Kutangaza vivutio vinavyo na visivyo jurikana kupitia mitandao tofauti ya ndani na nje ya mkoa
  •  Elimu kwa wakazi wa mkoa kuhusu utalii na mbinu za kukuza utalii katika mkoa wa Mbeya
  •          Elimu ya utunzaji wa mazingira ya asili na yasiyo ya asili

    KKwa mtu yeyote ama taasisi ambayo ingependa kushiriki waweza kuwasiliana nasi kwa 

    simu no: 
    0766 422703 Modesto Winfred Mratibu wa tukio

    Karibu Tanzania, Karibu Mbeya.

0 comments:

Post a Comment

Welcome

Travel makes one modest, You see what a tiny place you occupy in the world. This page is dedicated to promote tourist attractions of MBEYA Tanzania

Ask a question

Name

Email

Question

Submit

Popular Posts