Wednesday 3 September 2014

MAANDALIZI YANAZIDI KUPAMBA MOTO

 Tshert itakayovaliwa siku ya jumamosi ya tarehe 06/09/2014 upande wa nyuma itasomeka NITASIMAMA, NITATEMBEA KIZAZI KIPYA CHA VIJANA UTHEBUTU UNAANZIA NYUMBANI.

 Upande wa mbele wa tshert itasomeka MBEYA YOUTH EVENT 2014, 

 Vuvuzela ndogo zitakazo pigwa baada ya kufika juu kileleni ikiwa kama ishara ya furaha baada ya vijana wa jiji kuwa pamoja katika Mlima Loleza

 Hapa ni baadhi ya bendera zitakazoshikwa na washiriki wote watakao shiriki kupanda mlima, zipo za kutosha kiasi kwamba hakuna atakae kosa..

MTUSAMEHE KWA KUCHELEWE KUTOA TAARIFA KUHUSU T-SHIRT, kuhusiana na event ya kupanda MLIMA LOLEZA, siku tayari zimeisha kwa ambaye utahitaji uwe na t-shirt yenye ujumbe huu wa event, unaweza ukatuagizia ili tukutengenezee au ukatuletea T-SHIRT NYEUSI yakwako au ukatuma fedha ili ukatafutiwe t-shirt na upatiwe kabla ya ijumaa saa kumi jioni, gharama ukituletea t-shirt utaambatanisha ba Tsh 3000, na unaweza ukatuagiza tukutafutie ya aina gani, MTUSAMEHE KWA KUCHELEWESHA KUWAJULISHA, jumamosi hii haitakuwa ya kusahaulika , mawasiliano zaidi 0764761900 , na 0715850113. ukishindwa kuipata usiwaze kushiriki ni haki yako kwa mliotupa majina tayari MUNGU AWABARIKI 

Karibu Tanzania, Karibu Mbeya.


0 comments:

Post a Comment

Welcome

Travel makes one modest, You see what a tiny place you occupy in the world. This page is dedicated to promote tourist attractions of MBEYA Tanzania

Ask a question

Name

Email

Question

Submit

Popular Posts