Saturday 16 May 2015

VAZI LA KALE LA WANYAKYUSA HILI HAPA

Muonekano wa pembeni wa Kikobhole

Muonekano wa pembeni wa kikobhole

‪‎KIKOBHOLE‬ ni vazi lililokuwa linatengenezwa kwa kutumia Magome ya miti (ganda la mti) lilitengenezwa kwa miti maalum aina ya MPANDAPANDA na ni moja kati ya vazi lililokuwa linavaliwa miaka ya nyuma na wazee wetu, vazi hili lilikuwa linavaliwa kiunoni kwa mfano mzuri ni kama tuvaavyo mkanda wa suruali kisha lyabhi linafuata.

‪‎LYABHI ‬pia lilitengenezwa kwa gamba la miti na lilikuwa linakuwa refu kisha linapita katikati ya mapaja ili kuziba sehemu za siri. Vali hili tulilipata kwa mzee mmoja wilaya ya Rungwe halmashauri ya busokelo vazi hili tulilikuta katika jamii ya wanyakyusa mzee huyo akasema wapo wazee mpaka sasa ambao nguo ya ndani wanaiita lyabhi. Kwa sasa limehifadhiwa ofisi za Uyole cultural tourism enterprises kwa mambo mengine waweza kutembelea ofisi yao iliyopo uyole ya kati karibu na neema sanitarium clinic.

KAMATI YA UTALII MKOA WA MBEYA WATEMBELEA VIVUTIO VYA KITALII

 Kamati ya utalii mkoa wa Mbeya wakiwa eneo la kijungu jiko, KIJUNGU JIKO, ni mwamba ulio na umbo la chungu ambao pia hupitisha maji yake kisha kuyatolea upande wa pili, kulingana na maelezo ya wenyeji wetu walisema maji yakitoka juu hupitiliza na mengine huingia katika shimo na yakiingia katika shimo yana kaa kwa muda wa siku saba (7).

 Picha ya muonekano wa kijungu jiko na namna ambavyo maji yanaingia mahala hapa.

Debora Ndagamsu kutoka uyole cultural tourism enterprises, akimueleza Mwandishi Mwakyembe juu ya jiwe hili ambalo liko juu ya daraja la mungu ambapo wenyeji husema latumiwa kama kumbukumbu ya mtu mwenye asili ya india aliekufa hapo 08/02/1972 kwani jiwe hili limeandikwa 8-2-72 kwani watu wengi wenye asili ya india hutembelea hapo na kupiga picha.

 moja kati ya wawakilishi wa kamati ya utalii mkoa dada Judica ambaye pia ni katibu wa wanyama pori mkoa akiwa katika pozi ziwa nyasa

DARAJA LA MUNGU, ni daraja kama yalivyo madaraja mengine na lina muonekano wenye mfano wa upinde wa mvua lakini kitu pekee kinacholifanya daraja hili kuwa tofauti na mengine ni daraja la asili kwa maana kwamba hakuna mkandalasi au mtu ambaye amehusika kulijenga au kutengeneza, daraja hili hupitisha maji yake kutoka katicha chanzo cahke kilichopo mlima Rungwe kisha kumwaga maji yake ziwa nyasa.

Safari ya kutembelea vivutio vya kitalii iliyokuwa imeandaliwa na kamati ya utalii ya  mkoa na kuratibiwa na watu wa hifadhi ya rungwe, pia katika msafara huu kulikuwa na mtu wa uyole cultural tourism enterprises.

Walianza kwa kutembelea KIJUNGU JIKO kisha wakaenda DARAJA LA MUNGU na mwisho ikawa ni MATEMA BEACH, Lakini pia walipokuwa kyela waliona msitu wa asili ambao ulitumiwa na wajerumani kunyongea walemavu wa viungo, Msitu huu unaitwa katago katika kijiji cha Kikusa. yapo mengi walioyaandaa baada ya safari hiyo hivyo wakazi wa mkoa wa Mbeya tukae mako wa kula kwa mambo mazuri yajayo.

Kuna Baadhi ya mambo ambayo kamati ya utalii mkoa imeyagundua ambayo ni pamoja na kibao chenye kuonyesha uelekeo wa ziwa ngozi kimekosewa kimeandikwa ni mita kumi (10) kufika ziwani badala ya kilomita nne (4), pia KK kipo kibao chenye kuonesha iliposhule ya gods bridge na si cha kuonesha lilipo daraja la mungu, hivyo wameahidi kuyashughurikia mambo yote hayo.
Friday 15 May 2015

UYOLE CULTURAL TOURISM ENTERPRISES

We people of Uyole Mbeya we are delighted to welcome you to the green city of Tanzania with its marvelous lake Ngozi where you can experience the real safwa and nyakyusa culture and enjoy tropical vegetation. Lake Ngozi crater is roughly 15 km southeast of the city of Mbeya, and 38 km South of Mbeya, in the route of Mount Rungwe and Lake Nyasa and 4.3km from the Main road in Kasanga villages. By your spare time you will stay with us for the very unique cultural tour, where you will experience traditional and customs of the local communities

There are different tour programs offered by Uyole Cultural Tourism enterprises
Tours on offer includes.
  1. Hiking in Poroto Ridge Nature Reserve Mountains and Lake Ngozi
  2. A visit to the Safwa villages around
  3. Participation in culture and Safwa tradition dances “Mbeta”
  4. Mountain trekking at Loleza and Kawetile lift valley view
  5. Storry telling
  6. Kitulo national park tour
  7. Nature walking safari
  8. Local beer brew
HALF DAY
Story Telling
You will meet people of different ages and get an opportunity to interact. Elder people “Wazee” without missing the Safwa chiefs who will tell you stories about the Safwa people, their origin, traditions and other things such as the tribal war.

Local Beer brew
Here you will get to learn all the procedures for making local beer “komoni, dadii and chimpumu” as someone will be demonstrating the materials and utensils used to prepare the local bear you will appreciate fantastic test of the beer which is served in a traditional calabash and you can drink it by using local straw called kinfwefwe

Nature walking safari

Discover wonders of natural environment through outdoor recreations for restoration of one’s well being though nature walking tour in and around Mbeya region with amazing landscapes, scenery, and vegetation

Traditional Dance
While you’re enjoying your stay in Mbeya you will experience a Safwa dance which is performed by a group of men and women performing songs for different occasions such as welcoming guests, ceremonial dances and crop harvesting songs.

FULL DAY
Lake Ngozi safari
On your exploring the world you will discover an exciting sight of outstanding natural beauty and superb hiking location, where you can find different species of flora and fauna such as monkey and many birds species, while hiking you will pass on Mporoto Ridge forest reserve; the forest has an endemic three horned chameleon (chameleon fuelleborni) and the area is covered by magnificent highland forest, beautiful flowers, huge trees, grassland and bamboo trees that make the visit of this place a truly unique experience.

Mountains climbing and trekking adventure

Enjoy the adventure experience through energetic activities by reaching the highest peaks of famous mountains and hills that includes Loleza and Kawetire where the highest truck road is found then Poroto Mountains. Being there you will enjoy the good view of the Great Lift Valley and the city.

Kitulo national park tour

Walking across the grasslands to watch birds, wildflowers and hill climbing on the neighboring ranges a half day hike from the park across the Livingstone mountains leads to the sumptuous Matema beach on Lake Nyasa.

Other tours includes: Farm activities, Cycling, A visit to the Chief of safwa people, A visit to the local extraction of building materials,

How to get there:

There are several ways used to get in Mbeya region such as through the use of Songwe international airport, TAZARA railway line and Dar es Salaam to Malawi and Zambia Highway. All transport systems may be used on the way from Dar es Salaam. Then travelers shall spend 3hrs from the airport, 1hr from TAZARA Station and 40min from the Bus station to the Destination.

Volunteer Programme
Lake Ngozi cultural tourism receives and arranges for volunteers who are interested to work in health and educational sectors around their areas.

CONTACTS:
Email: uyolecte@gmail.com
Facebook: www.facebook.com/ uyole cultural tourism enterprises
Phone: +255 (0) 783545464/ +255(0)766422703
Visit our office located at uyole ya kati opposite Neema sanitarium clinic
Tuesday 4 November 2014

WIZARA YA MALIASILI NA UTALII KUSHIRIKIANA NA VIONGOZI WA DINI KWENYE VITA DHIDI YA UJANGILI

Waziri wa Maliasili na Utalii imeanza kushirikiana na viongozi wa dini nchini katika kuhakikisha kuwa ujangili wa Wanyamapori , biashara ya meno ya tembo na usafirishaji haramu wa wanyamapori hai unakoma kwa kuwaelimisha Viongozi wa dini zote nchini ili waweze kuwahuburia waumini wao kuacha kujihusisha na vitendo hivyo kwani ni chukizo mbele ya Mwenyezi Mungu.

Akizungumza kwenye mkutano wa Viongozi wa dini zote nchini uliofanyika jana jijini Dar es Salaam Mhe, Nyalandu alisema vita dhidi ya Ujangili vinahitaji ushirikiano wa pamoja hasa kwa viongozi wa kiroho kwani wao wana kundi kubwa la watu wanaloliongoza katika jamii kwa kuwahudumia kiroho na kimwili.

Mkutano huu ni moja ya maazimio yaliyofikiwa mwezi wa tano huu kwenye mkutano mwanzo uliofanyika jijini Dare s Salaam wa kujadili mikakati ya kutokomeza ujangili wa wanyamapori na biashara ya meno ya tembo uliohusisha Wizara ya Maliasili na Utalii, Wadau wa Kimataifa wa Maendeleo na Jumuiya za kimataifa ikiwepo UNDP NA ICCF.

Mhe. Nyalandu alisema Viongozi wa dini ni watu muhimu sana katika kuhakikisha Maliasili za taifa ikiwemo wanyamapori na misitu inalindwa na kuhifadhiwa kwa ajili ya kizazi cha sasa na kijacho kwa kuwa hata vitabu vitakatifu na kurani vinasisitiza umuhimu wa kulinda na kuhifadhi viumbe vya Mwenyezi Mungu.

‘’Viongozi wa dini lazima muwahubuirie waumini wenu kuwa kujihusisha na ujangili ni dhambi hivyo lazima waaachanae na vitendo hivyo viovu’’ Mhe. Nyalandu alisema
Alisema watu wanaojihusisha na mauaji ya tembo na usafirishaji haramu wa wanyamapori hai ni waumini wa dini ya kikiristo na dini ya kiislaamu hivyo kama Viongozi wa dini wakikemea vitendo hivyo viovu makanisani na misikitini kwa kuwakanya waumini wao hivyo wataweza kuachana na vitendo vya ujangili.

Aidha, alisema kuwa kupitia mkutano huo, Serikali pamoja na viongozi wa dini watakuwa na sauti moja yenye nguvu ambayo waumini wa dini zote wataweza kuisikia na kuitekeleza katika mapambano ya kuhakikisha mauaji ya tembo na usafirishaji haramu wa wanyamapori hai unakoma kwa kuwa Viongozi wa dini ni watu wenye sauti yenye kugusa mioyo ya watu.

Aliongeza kuwa, Viongozi wa dini kupitia mkutano huo sio tu watashiriki kwenye vita dhidi ya Ujangili pia watakuwa mstari wa mbele kwenye masuala ya uhifadhi na uendelezwaji wa Maliasilli za taifa.

‘’Sauti za viongozi wa dini ni kubwa kuliko bunduki na ni kubwa kuliko magereza hivyo tunaamini Maliasili za taifa zitaendelea kulindwa na kuhifadhiwa kwa kushirikiano nao.’’ Mhe Nyalandu alisitiza
.
Naye , Shekhe wa Dar es Salaam ,Alhadi Musa Salumu alisema wamenyamaza kiasi cha kutosha huku vitendo viovu vikiendelea kutafuna Maliasili za Taifa hivyo ni lazima wasimamie uadilifu na hisani sio kwa binadamu tu hata kwa viumbe wengine wakiwemo Wanyama pamoja na ndege nao wanahitaji hisani ya kuishi katika mazingira yao kwa kutendewa wanavyostahili.

‘’Mwenyezi Mungu anasema kila kitu kitendewe wema hata mnyama anayestahili kuuawa sio lazima umpige risasi kumi na moja wakati kulikuwa na uwezekano wa kutumia risasi moja tu’’ Shekhe Salum alisema.

Alibainisha kuwa Wanyama wana haki ya kufurahia mazingira yao kama Mtume anavyowataka waislamu wawetendee uadilifu na hisani wanyama wote wanaoliwa na wasioliwa na sio uharamu wanaofanyiwa sasa baadhi ya Wanyamapori kwa kuwaua na kuwang’o pembe na meno yao.

Naye,Rais wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa alisema Mungu kampa Binadamu uwezo wa kuvitawala viumbe vyote vinavyopatikana katika uso wa dunia na sio kuvipukutisha kama wanavyofanya sasa kwani hayo sio mapenzi ya Mwenyezi Mungu.

Amesema tani za magogo pamoja na biashara ya meno ya tembo zinazoendelea kusafirishwa kila kukicha ni ishara tosha kuwa baadhi ya watu hawana hofu ya Mungu hivyo wao kama viongozi wa kiroho wataendelea kuwaelimisha waumini wao na ikiwezekana kuwakemea kwani kuna binadamu wenye macho lakini hawaoni na kuna binadamu wenye masikio lakini hawasikii.

Alisema Serikali kwa kushirikiana na viongozi wa dini ni lazi wahakikishe Chama cha Haki za wanyama kinafufuliwa kwani kwa sasa Wanyama wanoishi majumbani na wanyamapori wamekuwa wakimbuna na ukatili usiovumilika hivyo lazima watetewe.

Aidha, Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Dkt. Reginald Mengi alisema kuwa mkutano huo ni muhimu sana kwani Watumishi wa Mungu ni watu wanaoaminika katika jamii na wanajukumu kubwa sana katika kuhakikisha viumbe vyote vilivyoumbwa na Mwenyezi Mungu vinaendelea kuwepo kwa ajili ya kizazi cha sasa na kijacho.

Amesema Viongozi wa dini ni lazima wawe thabiti katika vita dhidi ya Ujangili wa wanyamapori, Biashara ya meno ya tembo na usafirishaji haramu ya Wanayamapori hai kwani kwa sasa hali inatisha na wahusika ni wanaojishughulisha na vitendo hivyo ni Waumini wa dini zote za kikiristo na kiislamu.

‘’ Watumishi wa Mungu na sisi wafuasi wenu lazima tutambue Maliasili ni mali za Mwenyezi Mungu na ametupa mamlaka ya kuzitumia na si kuzimaliza kama tunavyofanya sasa hatuna haki hiyo sisi tumezikuta basi tusizitumie kwa fujo’’
Alisema Watumishi wa Mungu wana kazi kubwa ya kuwaonesha na kuwafundisha Waumini wao kuwa Mapenzi ya Mungu yanawataka watunze viumbe alivyoumba Mwenyezi Mungu na sio kuviharibu kwani hizo ni zawadi walizopewa na Mwenyezi Mungu’’

Amesema kama viongozi wa dini wakiweza kufikisha ujumbe kwa waumini wao vita hivi vitafanikiwa kwa sababu wanaaminika kwenye jamii na wana nguvu kubwa sana kwa jamii hivyo chochote wanachosema wanaaminika kwa jamii kwa sababu Waumini wa dini zote wanazungumza na Mungu kupitia wao.

‘’ Viongozi wa dini tuonesheni njia katika hili , tukeemeeni pale mnapoona hatuendi sawa kama mnaamini tunayofanya sio mapenzi ya Mwenyezi Mungu ’’ Dkt. Mengi alisisitiza

Naye Waziri kivuli wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Mchungaji Peter Msigwa amesema kuwa ifike hatua sasa viongozi wa dini wakatae michango ya pesa ya watu wanaotaka kujenga makanisa kwa pesa walizozipata kupitia ujangili wa Wanyamapori kwani kufanya hivyo ni kuhalalisha ujangili kwenye nyumba za ibada.

Akiwa na kofia mbili ya uchungaji na pia ni mwanasiasa amewataka viongozi wa dini kutowanyamzia wanasiasa wanapokengeuka kwa kuhamasisha wananchi kuharibu maliasili za taifa kwa mtaji wa kura hivyo ni lazima wa wakemee kwa nguvu zao zote bila kujali cheo na hadhi ya wanasiasa hao pindi wanapofanya hivyo.

Pia amesema suala la kupambana na ujangili halina chama wala itikadi hivyo amewataka viongozi wa dini kulikemea kwenye nyumba za ibada kwani viongozi wa dini watu wenye nguvu na wanaoheshimika katika jamii.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu wa pili kulia), Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP Dkt.Reginald Mengi ( wa kwanza kulia)  wakiwa katika sala kabla ya kuanza Mkutano aa Viongozi wa dini zote nchini kushirikiana kwa pamoja  kupambana na ujangili  wa Wanyamapori na usafirishaji haramu wa Wanyamapori hai, Wengine ni Rais wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa  ( wa kushoto) akifuatiwa na Waziri kivuli wa Wizara ya  Maliasili na Utalii,  Mchungaji Peter Msigwa

 
 

Thursday 30 October 2014

WELCOME BEACO RESORT MBEYA

 
Front View BEACO Hotel 
 
Garden 
 
Reception
 
Recreation Area
 
Conference Hall 
 
Rooms  
 
Mini Super Market

This beautifully furnished country house hotel provides an exclusive, comfortable and tranquil setting in which to relax; enhanced by its peaceful situation in Mbeya with landscaped gardens and woodland, along the great northern road. Opened in 2009, Beaco Resort has maintained its period charm and friendly atmosphere.Our guests are free to enjoy our multi-award winning gardens, or to spend the day relaxing in our comfortable lounges. With numerous local attractions and beautiful walks around Mbeya, there is plenty to do for everyone all within a short distance.

A haven located just moments from most of the city’s attractions including art & cultural institutions, shopping, nightlife and entertainment. Beaco resort Hotel is just long the Tanzania Zambia main road.

The central location of the hotel makes it a perfect choice for international business travelers, NGO’s and diplomats. Being Mbeya's latest attraction with serene breathtaking unique homely environment and friendly atmosphere, Beaco resort is a place you will like to frequently visit and stay for a long time. On arrival you will be warmly met by a receptionist and have more brief of our services and facilities; definitely you will appreciate our reasonable tariffs.


Karibu Tanzania, Karibu Mbeya
Saturday 25 October 2014

Hizi ni nchi duniani ambazo raia wa Tanzania anaweza kusafiri bila visa

 
Botswana – No visa is required for a maximum stay of 90 days
Burundi – No visa is required for a maximum stay of 30 days
GAMBIA – No visa is required for a maximum stay of 90 days
Guinea – No visa is required
Kenya – No visa is required for a maximum stay of 3 months

Lesotho – No visa is required for a maximum stay of 90 days
Malawi – No visa is required for a maximum stay of 90 days
Mauritius – No visa is required for a maximum stay of 90 days
Msumbiji – No visa is required
Namibia – No visa is required for a maximum stay of 3 months

Rwanda – No visa is required for a maximum stay of 90 days.[
Afrika Kusini – No visa is required for a maximum stay of 90 days per calendar year
Swaziland – No visa is required for a maximum stay of 30 days
Uganda – No visa is required for a maximum stay of 3 months.
Zambia – No visa is required for a maximum stay of 90 days for tourists and 30 days for persons traveling on business

Zimbabwe – No visa is required for a maximum stay of 3 months
Antigua and Barbuda – No visa is required for a maximum stay of 1 month
Bahamas – No visa is required for a maximum stay of 3 months.
Barbados- No visa is required for a maximum stay of 6 months
Belize – No visa is required

British Virgin Islands- No visa is required for a maximum stay of 30 days
Cayman Islands -No visa is required of tourists for a maximum stay of 60 days or of business people for a maximum stay of 10 days
Dominica – No visa is required for a maximum stay of 6 months
Grenada -No visa is required for a maximum stay of 3 months

Haiti -No visa is required for a maximum stay of 3 months
Jamaica -No visa is required.
Montserrat -No visa is required for a maximum stay of 6 months
Saint Lucia -No visa is required for a maximum stay of 6 weeks
Saint Vincent and the Grenadines – No visa is required for a maximum stay of 1 month.

Turks and Caicos Islands – No visa is required for a maximum stay of 30 days.[10
Bangladesh – No visa is required for a maximum stay of 90 days
Hong Kong -No visa is required for a maximum stay of 90 days
Macau – No visa is required for a maximum stay of 90 days.
Malaysia -No visa is required for a maximum stay of 30 days

Philippines – No visa is required for a maximum stay of 30 days; otherwise, a visa is issued on arrival for a maximum stay of 59 days
Singapore -No visa is required for a maximum stay of 30 days
Cook Islands – No visa is required for recreation or holiday visitors for a maximum stay of 6 months. Extension permits available in the Cook Islands for stays over 31 days but less than 6 months

Fiji – No visa is required for a maximum stay of 4 months. Visitor permits issued on arrival.
Federated States of Micronesia – No visa is required for a maximum stay of 30 days if the visit is for touristic or visitors’ purposes
Vanuatu – No visa is required for a maximum stay of 30 days
Chanzo: Tabianchi blog

Welcome

Travel makes one modest, You see what a tiny place you occupy in the world. This page is dedicated to promote tourist attractions of MBEYA Tanzania

Ask a question

Name

Email

Question

Submit

Popular Posts